Kiwanja

Sh6,500,000
Viwanja vina anzia ukubwa wa 15 -20, 20-20,20-30,20-40,30-40 Nk mteja anaruhusiwa kulipa kwa awamu naviwanja vimesha pimwa tayari mteja akisha maliza anapewa kiwanjwa chake napia huduma zote zakijamii zinapatikana kama Maji, Umeme,Hospital nk. Pia viwanja hivi vinapatikana kilometer 1kutoka barabara yalami 🗺️